Paroles de Rudiya
Ju ja weyemwana yao,wana liya
hawa lale tena
wana ngojeya
wana waza (kama)
weye wali kudanganya
warafiki yako
watu wabaya
wao wao
hawatake kazi ... juwa
weye nangoja weye
miye ndugu yako
we naku omba
usi wa ace vile
rudiya nyumba
hawa weze sahabu
mwana yao
wana ikala inje
wana ngojeya
wao wao
hawaceke tena ... juwa
weye nangoja weye
we wa mayisha ... kweli
"tangu siku uli kwenda
baba na mama
wali zeheka sana
kila siku ...
wana liya wana ngoja
weye rudiya nyumba
wanakupenda."
weye ungali mwana
haujuwe
basi urudiye
uji oneye.
wana waza (kama)
weye wali kudanganya
warafiki yako
watu wabaya
wao wao
hawatake kazi ... juwa
weye nangoja weye
miye ndugu yako
we naku omba
usi wa ace vile
rudiya nyumba
hawa weze sahabu
mwana yao
wana ikala inje
wana ngojeya
wao wao
hawaceke tena ... juwa
weye nangoja weye
we wa mayisha ... kweli
"tangu siku uli kwenda
baba na mama
wali zeheka sana
kila siku ...
wana liya wana ngoja
weye rudiya nyumba
wanakupenda."
weye ungali mwana
haujuwe
basi urudiye
uji oneye.
Paroles powered by LyricFind