Paroles de Rudiya

Ju ja weye

mwana yao,wana liya

hawa lale tena
wana ngojeya

wana waza (kama)

weye wali kudanganya

warafiki yako

watu wabaya





wao wao

hawatake kazi ... juwa

weye nangoja weye




miye ndugu yako

we naku omba

usi wa ace vile

rudiya nyumba

hawa weze sahabu

mwana yao

wana ikala inje

wana ngojeya





wao wao

hawaceke tena ... juwa

weye nangoja weye

we wa mayisha ... kweli





"tangu siku uli kwenda

baba na mama

wali zeheka sana

kila siku ...

wana liya wana ngoja

weye rudiya nyumba

wanakupenda."





weye ungali mwana

haujuwe

basi urudiye

uji oneye.