Paroles de Leo Leya

Lyi cacula

Cepe cepe

Sinta kula
Basi ni ace

Si sikiye njala

Mi nili sema

Waca waca

Mi nacoka

Sipende maneno

Nami najuwa

Hauta rudiya

Ju ya nini

Wuko na mwengini


Mupenzi Leya usi ni ace

Na mi nita fwanya je

Leo Leya

Mupenzi Leya usi ni tupe

Na mi nita fwanya je





Mayisha yetu

Pole pole

Ita rudi

Kama mbele

Uta sahabu

Ule mwanamuke

Ju ya nini

Wuko na mwengini

Sema kweli we rafiki