Paroles de Kembo
unaniaca unaenda tenanabaki apa mimi peke yangu
watoto, watoto wanaliya
usiende...
kembo, kembo, kembo...
watoto wanaliya...wewe
"napashwa"
wandugu wanaliya...
ni wewe
"napashwa"
ata mama yako analiya
usiende na sorrow
nitangoja...kembo.
"usiende na sorrow
tutangoja"
usiende na sorrow
tutangoja...kembo.
watoto wanaliya...hood !!!
"unapashwa"
wandugu wanaliya...hood !!!
"unapashwa"
ata mama yako analiya
"unapashwa"
mimi bibi yako naliya
usiende na sorrow
nitangoja...
kembo... kembo...kembo...
kembo, kembo, kembo...
watoto wanaliya...wewe
"napashwa"
wandugu wanaliya...
ni wewe
"napashwa"
ata mama yako analiya
usiende na sorrow
nitangoja...kembo.
"usiende na sorrow
tutangoja"
usiende na sorrow
tutangoja...kembo.
watoto wanaliya...hood !!!
"unapashwa"
wandugu wanaliya...hood !!!
"unapashwa"
ata mama yako analiya
"unapashwa"
mimi bibi yako naliya
usiende na sorrow
nitangoja...
kembo... kembo...kembo...
Paroles powered by LyricFind