Paroles de Kembo

unaniaca unaenda tena

nabaki apa mimi peke yangu

watoto, watoto wanaliya
usiende...

kembo, kembo, kembo...





watoto wanaliya...wewe

"napashwa"

wandugu wanaliya...

ni wewe

"napashwa"

ata mama yako analiya
usiende na sorrow

nitangoja...kembo.





"usiende na sorrow

tutangoja"





usiende na sorrow

tutangoja...kembo.





watoto wanaliya...hood !!!

"unapashwa"

wandugu wanaliya...hood !!!

"unapashwa"

ata mama yako analiya

"unapashwa"

mimi bibi yako naliya

usiende na sorrow

nitangoja...

kembo... kembo...kembo...