Paroles de Haya
Haya mpaka ulayaHaya mpaka aziya
Ata kule amerika
Unalala mutoto njiyani
Unalala mutoto inje
Ni haya
Usi ulize jina yake vile
Ju yeye, tu yeye ule
Hana jina,
Yake amejiita haya
Mutoto wa haya
Wuko inje hauliye
Ulisha kuzoweleya
Ukamukosa
Unapashwa kuiba
Ju upate cakula
Mtoto wa haya
Haya anahangayika
Haya ni malaika
Haya kwa iyi duniya...
Kweli
Ina aca mutoto njiyani
Ina aca mutoto inje
Ni haya
Usi ulize jina yake vile
Ju yeye, tu yeye ule
Hana jina,
Yake amejiita haya
Mi siweze kusahabu
Maco yake
Ananihangaliya
We haya wangu
Mi nitakosa majibu
Siku uta ni uliza
Ju ya nini ni vile ?
Ju ya nini wewe ?
Unalala mutoto inje
Ni haya
Usi ulize jina yake vile
Ju yeye, tu yeye ule
Hana jina,
Yake amejiita haya
Mutoto wa haya
Wuko inje hauliye
Ulisha kuzoweleya
Ukamukosa
Unapashwa kuiba
Ju upate cakula
Mtoto wa haya
Haya anahangayika
Haya ni malaika
Haya kwa iyi duniya...
Kweli
Ina aca mutoto njiyani
Ina aca mutoto inje
Ni haya
Usi ulize jina yake vile
Ju yeye, tu yeye ule
Hana jina,
Yake amejiita haya
Mi siweze kusahabu
Maco yake
Ananihangaliya
We haya wangu
Mi nitakosa majibu
Siku uta ni uliza
Ju ya nini ni vile ?
Ju ya nini wewe ?
Paroles powered by LyricFind