Paroles de Embargo

leo nasaili

ju mimi sikuelewa mambo yale

unasema embargo
ni njiya ya kuleta amani kwangu

kwa vile naona

ni watu wanahangayika bure

unisamehe sana

ju mimi sione uzuri wake

bwana mukubwa

uje inazimiya

watu wanakufa na njala

wanatesera

inci inazimiya
inaleta njala na maladi

bwana mukubwa

uje inazimiya

watu wanakufa na njala

wanatesera